Frederick Mwakalebela amechukua fomu za kuwania urais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF).


Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 12 mjini Dodoma.

Mwakalebela alikuwa katibu mkuu wa TFF wakati wa uongozi wa Leodeger Tenga.

Baada ya hapo, aliamua kuachana na michezo na kuingia kwenye siasa akigombea jimbo la Iringa mjini kupitia CCM, hata hivyo alikatwa katika kura za maoni.

Alirejea tena katika siasa na kukutana na Peter Msigwa akiwa vizuri, akampiga chini.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: