
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Frederick Mwakalebela amechukua fomu za kuwania urais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF).
Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Agosti 12 mjini Dodoma.
Mwakalebela alikuwa katibu mkuu wa TFF wakati wa uongozi wa Leodeger Tenga.
Baada ya hapo, aliamua kuachana na michezo na kuingia kwenye siasa akigombea jimbo la Iringa mjini kupitia CCM, hata hivyo alikatwa katika kura za maoni.
Alirejea tena katika siasa na kukutana na Peter Msigwa akiwa vizuri, akampiga chini.
Post A Comment: