ads

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema hafikirii kufundisha klabu nyingine hivyo atastaafu soka akiwa na miamba hiyo.


Kocha huyo mwenye miaka 49 alianza kufundisha soka klabu ya Mainz na alifanya kazi hiyo kwa miaka saba  dimba la Opel Arena kabla ya ujiunga na Borussia Dortmund mwaka 2008.

Pia aliwahi  kuifundisha BVR misimu saba, huku akitwaa mataji mawili ya Bundesliga kabla ya kuachana nao msimu wa mwaka 2014-15.

Klopp alisema hana nafasi ya kuanza kuzungumzia katika kipindi hiki kifupi kilichobaki kutokana na klabu mbalimbali kujitokeza kuomba huduma yake.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: