ads

Ikiwa sasa zimepita wiki tatu tu tangu Rapa Darassa ameachia wimbo wake wa 'Muziki' mpaka sasa video ya wimbo huo imeweza kutazamwa na zaidi ya watu milioni mbili kwenye mtandao wake wa 'Youtube' 

Darassa anakuwa Rapa kwa kwanza kwa video yake kutazamwa na watu wengi zaidi ndani ya wiki tatu tu huku akiwazidi hata wasanii wengine wa kuimba ambao waliachia kazi katika kipindi kimoja. 

Mashabiki wa muziki mzuri wamefurahia hatua ambayo rapa huyo amepiga na kumpongeza huku wengine wakisema kuwa ukifanya kazi nzuri lazima itapendwa na kupata watazamaji wengi zaidi kama ambavyo imetokea kwa Darassa na wimbo wake 'Muziki' 

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  


ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: