
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli
wakiwa katika Misa ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa
Yesu mkoani Singida.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani
Singida mara baada ya kushiriki Misa ya Krismasi katika kanisa hilo
mkoani Singida.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la
Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya kushiriki Misa ya
Krismasi katika kanisa hilo mkoani Singida.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Baba Askofu wa Jimbo la
Singida Askofu Edward Mapunda mara baada ya Ibada ya Krismasi katika
Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Baba Askofu wa
Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda mara baada ya Ibada ya Krismasi
katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.
Baba Askofu wa Jimbo la Singida
Askofu Edward Mapunda akimuombea na kumbariki Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya Ibada ya
Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakisalimiana na waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani
Singida mara baada ya ibada ya Krismasi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakipunga mkono wakati wakitoka kwenye Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa
Yesu mkoani Singida. PICHA NA IKULU
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: