
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MTUHUMIWA wa unyang'anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete(34), maarufu kwa jina la ‘Scorpion’, jana aliishangaza Mahakama ya Wilaya ya Ilala, baada ya kutaka iendeshe kesi yake kwa kasi anayotaka yeye.
Akiwa kizimbani kama mtuhumiwa pekee, ‘Scorpion’ alitaka asomewe
maelezo ya awali ya kesi yake japokuwa hakupewa nafasi ya kujieleza kwa
lolote.
'Scorpion' aliomba asomewe maelezo ya awali sekunde chache baada ya
Wakili wa Serikali, Chesensi Gavyole kuiambia mahakama kwamba upelelezi
wa kesi hiyo umekamilika.
Baada ya Gavyole kumaliza maelezo hayo, Hakimu Frola Haule
anayesikiliza kesi hiyo alimwambia mtuhumiwa huyo kuwa ataanza kusomewa
maelezo ya awali Novemba 30.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: