ads

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Mgufuli , leo Tarehe 20 November , 2016 ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Bw.Bernard Mchomvu. 


Mbali na kutengua uteuzi huo, Rais Magufuli pia amevunja bodi hiyo kuanzia leo.

Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imebainisha kuwa uteuzi wa mwenyekiti mwingine pamoja na bodi nzima ya mamlaka hiyo utatangazwa baadaye.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: