
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limeuzuia mkutano wa uliotarajiwa kuhutubiwa leo na Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad.
Mkutano
huo ulitegemewa kuanza saa 5 asubuhi lakini askari walionekana
wakizunguka geti la kuingia chuo cha Stella Maris (Stemmuco) ambako CUF
walitegemea kutumia ukumbi wao.
Katika
eneo la chuo hicho yalionekana magari matatu ya askari ambayo pia
yalikuwa yakizunguka katika mji wa Mtwara na gari moja la maji ya
kuwasha likiwa limesimama kando ya eneo la chuo hicho.
Mkurugenzi
wa habari, uenezi na uhusiano wa Umma CUF, Mbarala Maharagande amesema
mkutano huo ulilenga kukagua shughuli za chama, kupata maoni ya
wanachama pamoja na mapendekezo ya namna ya kuboresha utendaji wa chama
kwa ngazi za chini.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: