
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mshambuliaji wa timu ya Simba anayeongoza kwa kufunga magoli 7 katika
mechi 9 alizocheza ligi kuu Tanzania bara msimu huu Shiza Kichuya
amesema kila atakapo pata nafasi kazi yake ni kufunga.
Kichuya
ameyasema hayo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam baada ya
kumalizika kwa mchezso kati ya Simba na Kagera Sugar mtanange ambao
umemalizika kwa Simba kuibuka kidedea kwa kuicharaza Kagera Sugara
bakoran 2 kwa bila.
“Wachezaji kazi yetu ni kufunga, na mimi kila nitakapopata nafasi kazi ni kufunga na lengo letu ni kuendelea kuwa wamoja kama ilivyo sasa ambapo mashabiki pamoja na viongozi na wachezaji tupo wamoja ndiyo maana hata matokeo yanaonekana” Amesema Kichuya
Wakati huo huo Nahodha wa Kagera Sugar George Kavila amesema Simba imepata nafasi na kuzitumia vizuri ndiyo maana wakaweza kuibuka na ushindi huo
“Ligi hii ni ngumu huwezi kusema wameshinda kwa bahati, wamepata nafasi wakazitumia tutaenda kujipanga vizuri kwa michezo inayofuata” Amesema Kavila.
“Wachezaji kazi yetu ni kufunga, na mimi kila nitakapopata nafasi kazi ni kufunga na lengo letu ni kuendelea kuwa wamoja kama ilivyo sasa ambapo mashabiki pamoja na viongozi na wachezaji tupo wamoja ndiyo maana hata matokeo yanaonekana” Amesema Kichuya
Wakati huo huo Nahodha wa Kagera Sugar George Kavila amesema Simba imepata nafasi na kuzitumia vizuri ndiyo maana wakaweza kuibuka na ushindi huo
“Ligi hii ni ngumu huwezi kusema wameshinda kwa bahati, wamepata nafasi wakazitumia tutaenda kujipanga vizuri kwa michezo inayofuata” Amesema Kavila.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: