ads

 Muziki wa Tanzania unaendelea kukua kila kukicha! na imekuwa na chanzo kikubwa cha ajira kwa baadhi ya vijana hapa Tanzania! Diamond Platnumz ni mmoja ya wasanii ambao wana mafaniko sana katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, Mafanikio ya Diamond yameweza kunufaisha pia Dancers wake.

Diamond Platnumz kupitia mtandao wa Instagram ameandika “Huwa nafarijika na kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ninapoona vijana wenzangu ninaofanya nao kazi licha ya kidogo tukipatacho ila wanakuwa na akili ya kukitumia kimaendeleo… Mwenyezi Mungu akuongeze akili na maarifa ufanye mengi mazuri zaidi ya hili @dumyutamu @dumyutamu @dumyutamu“

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: