ads

Leo kulikuwa na mtanange kati ya Arsenal na Chelsea katika ufunguzi wa ligi kuu Ngao ya Jamii, Arsenal imefanikiwa kuwa mshindi wa mechi hii baada ya kuifunga Chelsea bao moja kwa bila, Goli la Arsenal limefungwa katika dakika ya 24 na mchezaji Alex Oxlade-Chamberlain.

Mchezo huu uliandamwa na kadi za chano katika kila upande! katika dakika ya 65  Cesar Azpilicueta wa Chelsea alipata kadi ya njano! na katika dakika ya 68 pia Mchezaji wa Arsenal Francis Coquelin nae alipata kadi ya njano.

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: