Ramdhaan singano messi leo amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea azam fc, ikiwa ni siku mbili baada ya shirikisho la soka Tanzania TFF kupitia kamati yake ya maadili na hadhi za wachezaji kuvunja mkataba wake na klabu aliyokuwa akiitumikia ya simba
messi ataungana na wachezaji wenzake katika mazoezi ya Azam Fc yanayofanyika chini ya kocha mwingereza Stewart Hall
messi ataungana na wachezaji wenzake katika mazoezi ya Azam Fc yanayofanyika chini ya kocha mwingereza Stewart Hall
Post A Comment: