
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
KIUNGO wa Simba, Ibrahim Mohammed 'Mo Ibrahim' amesema, habari za kwake kujiunga na Yanga ni stori tu, yeye hana hata mpango wa kwenda huko.
Mo Ibrahim ambaye hakuwa kwenye wakati mzuri ndani ya kikosi chake kutokana na kusumbuliwa na matatizo ya kifamilia.
Amesema, anasikia tetesi hizo kama watu wengine lakini kwa sababu yeye ndiyo muhusika, ameamua kutoa la moyoni na kusema, hakuna kitu kama hicho.
"Hakuna mpango huo, mimi ni mchezaji wa Simba achana na habari za Yanga. Sijui chochote na mimi nasikia tu kama wewe unavyosikia, watu wanapenda kuzungumza sana sijui kwa nini,"alisema Mo Ibrahim ambaye baada ya kuulizwa kama alishapigiwa simu na viongozi wa Yanga, Mo hakutaka kufunguka kwa undani akabaki amenyamaza tu.
Post A Comment: