
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
England.Kocha Manchester United, Jose Mourinho ni mwenye furaha baada ya taarifa kuweka wazi kiungo wake Paul Pogba atakuwa fiti kuzivaa Arsenal na Manchester City.
Pogba yupo nje ya uwanja kwa zaidi ya mwezi sasa huku akitarajiwa kuwa fiti kuanza kucheza mechi itakapofika Desemba.
Habari njema kwa kocha Mourinho ni kwamba Pogba atarudi katika mwezi ambao kawaida umekuwa na mechi nyingi sana zinazotoa mwanga wa kutambua mbio za kuwania ubingwa zilivyo.
Man United itakipiga na Arsenal, Desemba 2 huko uwanjani Emirates na siku nane baadaye, yani Desemba 10 watakuwa Old Trafford kuwakaribisha mahasimu wao wakuu, Man City.
Man United juzi Jumamosi ilikubali kipigo cha kwanza kwenye Ligi Kuu England ilipochapwa na Huddersfield na kichapo hicho kinawafanya waachwe kwa pointi tano na wapinzani wao katika mbio za michuano hiyo, Man City.
Post A Comment: