
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mcheza Kikapu Mtanzania Hasheem Thabeet, anatarajiwa kushuka dimbani kucheza mchezo wake wa kwanza kwenye ligi ya Kikapu nchini Japan akiwa na timu yake ya Yokohama B.
Hasheem amesajiliwa na klabu ya Yokohama B, Septemba 28, mwaka huu inayoshiriki Ligi Kuu ya mchezo wa kikapu nchini Japan ‘B1 League’ atatupa karata yake ya kwanza dhidi ya Levanga Hokkaido katika dimba la kimataifa la Yokohama ‘Yokohama International Arena Pool’.
Mchezo huo wa kwanza kwa Thabeet ambaye amewahi kucheza kwenye ligi ya Kikapu nchini Marekani (NBA) utapigwa Oktoba 7 siku ya Jumamosi ya wiki hii.
Thabeet aliichezea klabu ya Oklahoma City Thunder inayoshiriki ligi ya Marekani ‘NBA’ jumla ya michezo 224 ikiwa ni sawa na wastani wa pointi 2.1 na mitupo 2.6 “rebounds”
Post A Comment: