
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Bamia ni mboga ambayo inafahamika kwa wengi katika jamii kutokana na ladha yake nzuri inapotumika kama mboga katika baadhi ya milo. Mfano ugali.
Bamia kwa kawaida huwa na rangi ya kijani iliyokolea na hukua hadi kuwa na urefu wa sentimeta tano hadi 15.
Bamia imebarikiwa virutubisho vingi ikiwa ni pamoja na vitamini A ambayo husaidia kutengeneza kinga ya sumu. Hivyo sumu inapoingia mwilini bamia huzuia kusambaa kwake.
Aidha, kwa wale wenye matatizo ya kuona, wanapokula bamia mara kwa mara huwasaidia kuimarisha mwanga katika macho yako.
Mtu mwenye wingi wa vitamini A mwilini huwa na nafasi ndogo ya kuzongwa na maradhi yatokanayo na virusi kama mafua.
Halikadhalika uteute unaopatikana katika bamia husaidia kuunda tishu za mwili na ngozi. Hivyo watu wenye ngozi laini huwa na kiwango kikubwa cha ute ambacho husaidia kulinda ngozi.
Mbali na hayo, pia ulaji wa mboga za majani kama bamia, husaidia katika kulinda mapafu. Bamia zina wingi wa vitamini K ambayo husaidia kuimarisha mifupa.
Post A Comment: