ads

Baada ya mechi ya kirafiki dhidi ya Milambo FC mjini Tabora, Simba itarejea mkoani Mwanza kuweka kambi.


Simba itaweka kambi mkoani Mwanza kujiandaa na mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Stand United, wikiendi ijayo.

Msemaji wa Simba, Haji Manara amesema wanaona Mwanza ni sehemu nzuri ambayo wanaweza kuweka kambi.

"Mwanza ni sehemu sahihi, tutaweka kambi pale. Tutajiandaa hadi siku tutakaposafiri kwenda Shinyanga kwa ajili ya mechi dhidi ya Stand," alisema.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: