ads

Kamati iliyoundwa kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza Soko la SIDO Jijini Mbeya imekabidhi ripoti yake leo ikionyesha chanzo cha moto huo kuwa ni jiko la Mkaa ndani ya kibanda cha mama lishe.


Ripoti hiyo imebaini kuwa hasara iliyosababishwa na moto huo ni zaidi ya Tshs Bilioni 14 kutokana na mali za wafanyabishara katika soko hilo kuunga zote.

Mkuu wa Mkoa Amos Makala atangaza eneo hilo rasmi kuwa Soko la kudumu,aagiza iwekwe miundombinu ya kudumu kwa kuzingatia tahadhari ya moto.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: