Katibu  wa  Chadema Arusha, Amani  Golugwa, amedai wanao ushahidi wa viongozi wa chama hicho wanaorubuniwa kwa rushwa na viongozi wa CCM kwani ni wengi wamekataa ofa hiyo.


Golungwa amesema kuwa kinachofanyika  sasa sio  siasa,  bali  rushwa  za   wazi  wazi,   hatua  aliyodai  kuwa haina  tija  kwa  wananchi   wala  kwa  taifa.

"Kama  kisingizio  ni   kumuunga  rais  mkono, unaweza  kufanya  hivyo  bila  kuhama  chama, hili  tunalizungumza  bila   kumung’unyamaneno,   kwamba  hawa  viongozi  wetu  wanaohama  wanashawishiwa  na pesa   na  ni  wengi  wamepewa,  wakakataa   na  ushahidi tunao,"amesema   Golugwa .
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: