
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Katibu wa Chadema Arusha, Amani Golugwa, amedai wanao ushahidi wa viongozi wa chama hicho wanaorubuniwa kwa rushwa na viongozi wa CCM kwani ni wengi wamekataa ofa hiyo.
Golungwa amesema kuwa kinachofanyika sasa sio siasa, bali rushwa za wazi wazi, hatua aliyodai kuwa haina tija kwa wananchi wala kwa taifa.
"Kama kisingizio ni kumuunga rais mkono, unaweza kufanya hivyo bila kuhama chama, hili tunalizungumza bila kumung’unyamaneno, kwamba hawa viongozi wetu wanaohama wanashawishiwa na pesa na ni wengi wamepewa, wakakataa na ushahidi tunao,"amesema Golugwa .
Post A Comment: