ads

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema serikali ingetafuta vyanzo vingine vya mataumizi na sio kodi peke yake na pia kuona maisha ya wananchi yanakuwa bora kutokana na kukua kwa uchumi


Vyanzo vipya vya mapato amesemaserikali inaweza kutumia municipal bonds na infrastructure bonds kama vyanzo mbadala vya kodi na benki za kimaendeleo zinaweza kutumika kukusanya fedha za kusaidia miradi ya maendeleo kwa njia ya levarage na zimetumika kwenye nchi kama Ujerumani na Japan

Amesema pia wananchi wanaona serikali inajitapa uchumi umekuwa huku maisha yao yanazidi kuwa magumu zaidi na tafsiri ya maendeleo na uchumi ni na maisha yaliyo bora ni maendeleo yanayofanana na maisha anayoishi, ameunga mkono mipango ya wizara ya fedha ila waziri ajue wananchi wana hali mbaya 
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: