ads

Baada ya Ivan Ssemwanga kufariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini kutokana na maradhi ya moyo na kuzikwa Jumanne hii katika makaburi ya ukoo wake yaliyopo Kayunga nchini Uganda – Zari The Bosslady ameonekana kuumizwa zaidi na kifo cha aliyekuwa mumewe.


Malkia huyo wa Diamond, ameandika ujumbe kupitia mtandao wa Instagram wa kumtakia marehemu apumzike kwa amani huko alipo na pia amewashukuru wote ambao wamekuwa karibu na familia hiyo katika kipindi hiki kigumu.

“Death robbed you from us but I strongly believe you are in a better place now that you are with God. Your physical presence will be missed but you will forever be remembered,” ameandika Zari katika picha hiyo hapo chini aliyoiweka katika mtandao huo.

“Till we meet again, Rest in eternal peace Ivan The Don🌹 Allow me to thank everyone who has been here for my family during this trying time. God bless you,” ameongeza.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: