
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Moja ya mambo ambayo huchanga kuharibu afya ya nywele ni pamoja na tatizo la mba ambalo huchangia pia mhusika kupata muwasho wa kichwa wa hapa na pale.
Sasa leo naomba nikupatie hii mbinu asili ambayo huweza kusaidia kumaliza haraka tatizo la mba
Tumia juisi ya limao
Namna ya kufanya utatakiwa kutafuta malimao mawili makubwa kisha kamua kwenye kikombe cha chai chenye maji. Kisha tumia maji hayo yenye mchanganyiko wa limao kwa kuweka kichwani na uchanganye vizuri kisha acha kwa dakika 5 hadi 10 kabla ya kuosha nywele zako.
Fanya zoezi hilo kutwa mara mwili ndani ya wiki mbili mfululuzo na utaona mabadiliko
Post A Comment: