ads

Kundi la wanamamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika katika shambulio lililotokea jijini London nchini Uingereza na kuuwa watu saba huku wengine 48 wakijeruhiwa na kupelekwa hospitali.


Aidha, katika shambulio hilo Polisi nchini humo imesema kuwa imewakamata watuhumiwa 12 ambao wanadaiwa kuhusika katika shambulio hilo la kigaidi  ambalo ni baya kutokea kwa nchi ya Uingereza.

Hata hivyo, ulinzi umeimarishwa na msako mkali dhidi ya wahusika unaendelea jiji humo huku bado kukiwa na hofu kubwa ya mashambulizi mengine kutoka kwa magaidi hao jijini London.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: