
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Miili yetu inahitaji chumvi kwa kiasi kidogo sana kwasababu chumvi huupatia mwili madini ya Sodium ambayo huhitajika kusafirisha taarifa za mfumo wa fahamu n.k.
Matumizi ya chumvi nyingi huongeza uwezekano wa kupata shinikizo kubwa la damu ambalo pia huweza kuchangia uwezekano wa kupata magonjwa mengine sugu kama yale ya figo, moyo na pia mifupa kama "Osteoporosis".
Jinsi ya Kupunguza Matumizi ya Chumvi
1. Mpishi wa familia anahitajika kupunguza chumvi inayowekwa kwenye chakula wakati wa kuandaa au kupika chakula na ni vyema akaambiwa wazi kuhusu madhara yatokanayo na ulaji wa chumvi nyingi.
2. Epuka kuweka chumvi mezani, kwa kuwa huchangia walaji kuongeza chumvi bila hata kuonja.
3. Epuka ulaji wa vyakula vilivyosindikwa kwa kutumia au kuongezwa chumvi, kama nguru aliyekaushwa kwa chumvi pamoja na baadhi ya vyakula vya makopo au paketi.
4. Soma lebo kwa makini wakati wa manunuzi ya bidhaa zako na uchague vyakula vilivyosindikwa bila ya chumvi iliyoongezwa.
5. Jenga utamaduni wa kula vyakula fresh unavyopika mwenyewe kwani itakuwa kwako ni rahisi kutambua kiasi cha chumvi unachotumia.
Post A Comment: