ads

Wakati wanafunzi  watatu majeruhi katika ajali ya basi la shule ya Lucky Vicent  wakienda kwa matibabu nchini Marekani wanafunzi waliobaki shuleni leo wataendelea na masomo huku kukiwa na ukimya shuleni hapo.


Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Ephraim Jackson alisema jana kuwa shule hiyo inatarajiwa kufunguliwa leo baada ya kufungwa kwa wiki moja.

Amesema ratiba masomo pia itapangwa leo ikiwepo siku za kuanza mitihani ya muhula.

Hata hivyo tofauti na siku nyingine jana  katika shule hiyo kilikuwa kimya hakukuwa na mwanafunzi.

Baadhi ya wafanyakazi eneo la usafi wa madarasa na magari walikuwa wakiendelea na usafi.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: