ads
 
WAGONJWA 289 wamepelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Kitengo cha wagonjwa wa dharura na ajali, wakati wa Krismasi.

Idadi hiyo ni kwa siku tatu kuanzia siku hiyo hadi juzi.

Akizungumza jana , Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano kwa Umma, Aminiel Aligaesha alisema wagonjwa hao walifikishwa kitengo hicho kuanzia saa 12 asubuhi.

“Wagonjwa waliofikishwa hapa walitoka jijini na mikoa jirani,” alisema Aligaesha.

Alisema kati ya wagonjwa hao, 70 walihusishwa na ajali za magari.
Zingine ni za pikipiki, kupigwa risasi, ajali za moto, kuvamiwa na vibaka na wengine kuanguka.
 
DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: