ads

Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob amesema kuanzia mwezi ujao wataanza  oparesheni ya kukusanya mapato yatakayokwenda kwenye miradi ya maendeleo.


Jacob alitoa kauli hiyo juzi baada ya kukakibidhi msaada wa Sikukuu ya Krismasi zenye thamani ya Sh2 milioni kwa makundi mbalimbali wakiwamo watu wasiojiweza.

Miongoni mwa zawadi hizo ni mbuzi tano, mchele kilo 200, juisi na guni la viazi.

Alisema halmashauri hiyo ni mpya na bado hawajajua mapato yanayokusanywa kwa mwezi ingawa lengo ni kufikia Sh36 bilioni kwa mwaka.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: