ads

Bibi Emma Morano anayeaminika kuwa ndiye Binadamu mzee kuliko wote Duniania amesheherekea jana kutimiza miaka 117 nchini Italy.


Bibi huyo anatajwa kama ndiye Mwanamke wa mwisho kuzaliwa miaka ya 1800.

Siri yake kubwa ya kuishi muda mrefu imetajwa kuwa ni juhudi zake katika ulaji wa viini vya mayai ambapo daktari wake amesema huwa anakula viini 2 kila siku.

Mumewe alifariki kwenye vita ya kwanza ya Dunia, na alilazimishwa kuolewa na Mwanaume asiyempenda ambaye waliachana mwaka 1968 akiwa na miaka 26 na tangu hapo Emma amekuwa akiishi mwenyewe bila ya mahusiano.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: