ads
 
Kocha Jackson Mayanja tayari amekabidhi ripoti yake na kamati ya ufundi ya Simba, imekutana.

Taarifa za ndani ya Simba zinasema baada ya kamati hiyo ya ufundi kukabidhiwa ripoti, mara moja imeanza kuifanyia kazi.

“Ndiyo amekabidhi, kamati ya ufundi nayo imeanza kuifanyia kazi kwa ajili ya kuangalia ni kipi cha kurekebisha.

“Kuna mengi nafikiri ya kujadili, yanahitaji muda na utulivu, hivyo kwa sasa subirini kwanza hatuna chochote cha kuzungumza,” kilieleza chanzo.

Ripoti ya Mayanja inaeleza Simba wanapotakiwa kurekebisha ili kuhakiksiha wanakuwa na kikosi bora msimu ujao.
 
CHANZO SALEH JEMBE
 
DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
 
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: