Taarifa za ndani ya Simba zinasema baada ya kamati hiyo ya ufundi kukabidhiwa ripoti, mara moja imeanza kuifanyia kazi.
“Ndiyo amekabidhi, kamati ya ufundi nayo imeanza kuifanyia kazi kwa ajili ya kuangalia ni kipi cha kurekebisha.
“Kuna
mengi nafikiri ya kujadili, yanahitaji muda na utulivu, hivyo kwa sasa
subirini kwanza hatuna chochote cha kuzungumza,” kilieleza chanzo.
Ripoti ya Mayanja inaeleza Simba wanapotakiwa kurekebisha ili kuhakiksiha wanakuwa na kikosi bora msimu ujao.
CHANZO SALEH JEMBE
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: