Mwanadada rachel ambaye ametamba na nyimbo zake kadhaa kwenye tasnia ya muziki amekanusha taarifa za kuwa yeye anatumia dawa za kulevya kufuatia tuhuma zilizozagaa kuwa yeye anatumia dawa za kulevya
amesema katika maisha yake hajawahi kutumia madawa yeyote ya kulvya pia huwa anasikia vibaya sana anaposikia taarifa hizo na hajui hata ladha yake na kusema anadhani kuwa watu wanamfananisha na msanii mwenzake Rehema Chalamila "Ray C" ambaye alikuwa muathirika wa dawa za kulevya
aliongezea kuwa watu wengi humfananisha na msanii huyo huenda pia hata hilo wamemfananisha na kudai kuwa huwa hatumii kabisa dawa za kulevya
amesema katika maisha yake hajawahi kutumia madawa yeyote ya kulvya pia huwa anasikia vibaya sana anaposikia taarifa hizo na hajui hata ladha yake na kusema anadhani kuwa watu wanamfananisha na msanii mwenzake Rehema Chalamila "Ray C" ambaye alikuwa muathirika wa dawa za kulevya
aliongezea kuwa watu wengi humfananisha na msanii huyo huenda pia hata hilo wamemfananisha na kudai kuwa huwa hatumii kabisa dawa za kulevya
Post A Comment: