
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amekubali kujiuzulu nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa masharti kuwa yeye na mkewe Grace Mugabe wapatiwe kinga ya kudumu na mali zake binafsi zisiharibiwe wakati wa maisha yake yote baada ya kujiuzulu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwenye tovuti ya kituo cha runinga cha CCN zimedai kuwa Rais Mugabe ameshawasilisha masharti hayo kwa njia ya barua na tayari Jeshi la nchi hiyo limekubaliana nayo.
Wakati hayo yakifanyika kwa usiri mkubwa, Chama cha Zanu PF leo kimetangaza kukutana na wabunge, Mawaziri na Maseneta wa Chama hicho mchana huu.
Post A Comment: