
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amehudhuria kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Muriet mkoani Arusha huku akitaka upinzani kuchukua nchi mwaka 2020.
“Nimekuja kumnadi mgombea udiwani wa Kata ya Muriet, Simon Moses Mollel, (Chadema) mpeni kura nyingi za ushindi,” alisema.
Kauli hiyo ameitoa katika mkutano wa kampeni za uchaguzi wa udiwani wa Kata ya Muriet, uliofanyika eneo la sokoni kwa Mrombo jijini Arusha.
“Nawashukuruni mwaka 2015, mlinipa kura nyingi zaidi ya milioni sita, Watanzania mlinipa kura nyingi sana mpaka mkanitungia jina la Rais wa mioyo ya watu,”..........Nasema watusubirie mwaka 2020 tutawaonyesha kazi, lazima tuchukue nchi mapema.”
Post A Comment: