
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Beki Shomari Kapombe amesema yuko tayari kama Simba watavunja mkataba.
Kapombe amesema hayo akijibu kauli ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Poppe aliyemtaka acheze au aondoke Simba kwa kuwa hawako tayari kuendelea kumlipa bure bila kufanya kazi.
“Mimi ni majeruhi, siwezi kucheza. Kama wanaona wanataka kuvunja mkataba niko tayari.
“Asingekwenda kuzungumza kwenye vyombo vya habari, angenitafuta mimi ili kujua kinachoendelea,” alisema.
Kapombe amekuwa akiendelea na matibabu tokea ajiunge na Simba akitokea Azam Fc.
Hajapata nafasi ya kuichezea Simba jambo ambalo linaonekana kumuudhi Hans Poppe.
Post A Comment: