ads

Rapa Roma Mkatoliki ameweka wazi akipata nafasi ya kukutana ana kwa ana na Rais John Pombe Magufuli, atakachofanya ni kumweleza tu shida zake binafsi ili asaidiwe kutimiza ndoto zake.


Roma Mkatoliki alisema hayo alipokuwa akiongea na EATV na kusema unapokutana na Rais kwa dakika chache ni fursa kubwa hivyo lazima uitumie vizuri kwani ukisema uanze kueleza matatizo ya wananchi unaweza kukosa nafasi ya kueleza mambo yako kutokana na kukosa muda. 
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: