ads

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatangaza ongezeko la mapato kwa asilimia 7.67 kutoka Sh. trilion 13. 3 mwaka wa fedha 2015/16 hadi trilion 14.4 mwaka wa fedha 2016/17.


Miezi ambayo imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa zaidi ni Septemba 2016 ambapo zilikusanywa sh. trilion 1. 378, Machi 2017 zilipokusanywa sh trilion 1.345 na Julai 2017 zilipokusanywa sh trilioni 1. 396.

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: