ads

Mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina la Kasian ameingia matatani baada ya chakula kunaswa kwenye baa yake muda wa mchana na anatarajiwa kupandishwa mahakamani

Zanzibar serikali imekataza kwa mfanyabiashara yoyote kuuza chakula wakati wa mchana kwa vyovyote vile na usiku inaruhusiwa kwa waliopewa vibali tu

Mfanyabiashara huyo amedai chakula hicho kilikuwa kwa ajili ya mafundi kwenye baa yake na sio kwa ajili ya biashara
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: