ads

Mbunge John Mnyika amesema kitendo cha spika alichokifanya kimeonyesha upendeleo wa wazi , kwa kuwa wabunge wote wa upinzani wamesikia mbunge Lusinde akiwaita ni wezi na spika hakumuagiza aliyesema hivyo afaute kauli yake au athibitishe maneno yake na yeye alipoitwa mwizi akalipuuzia kabisa


Ila jambo kubwa kabisa kanuni za bunge hazimpi mamlaka spika kumfungia yeye kwa siku saba na wabunge wa upinzani ndio maana wamepinga hilo

Amesema pia wabunge wa upinzani watarudi jioni
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: