
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Huenda umekuwa ukisumbuliwa na tatizo la ukosefu wa upungufu wa nguvu za kiume na umeshindwa kujua nini ufanye ili kutatua tatizo hilo.
Yafuatayo ni mambo ambayo ukizingatia wewe mwanaume mwenye tatizo hilo unaweza kupata ahueni:-
Epuka matumizi ya pombe.
Matumizi ya pombe huweza kukushawishi kufanya tendo la ndoa lakini pia pombe hiyo hiyo huweza kumnyima mhusika uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Hivyo kama unapenda kuepuka tatizo hilo jitahidi kuepukana na matumizi ya pombe.
Jitahidi kushiriki kufanya mazoezi
Watu wengi hujikuta wakisongwa na magonjwa mbalimbali kutokana na kutofanya mazoezi, lakini pia ni vyema ikafahamika kuwa mazoezi husaidia hata kufanya mzunguko wa damu kuwa mzuri ndani ya mwili jambo ambalo pia husaidia kwenye masuala ya tendo ya ndoa.
Jitahidi kupata muda wa kutosha wa kulala, punguza mawazo (stress) kula vizuri na upate muda wa kufurahi na marafiki na ndugu
Post A Comment: