ads
Mwigizaji maarufu, Kingwendu amenusurika kifo baada ya ajali mbaya ya gari iliyotokea leo Wilayani Kisarawe.
Kingwendu amekumbana na ajali hiyo akiwa katika kampeni zake za kuwania ubunge katika Jimbo la Kisarawe.
Mwigizaji huyo anawania nafasi hiyo kupitia Chama cha Wananchi (CUF) na kampeni zake zimekuwa zikipamba moto.
Msemaji wa Kingwendu, Msanii mwingine, King Sapeto amesema aliyeumia ni mtu mmoja tu aliyeumia anajulikana kwa jina la Big.
“Big ndiye pekee aliyepata majeraha,” alisema King Sapeto bila ya kutoa maelezo zaidi.

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: