ads
Producer ambaye amefanya hit kali kama bum bum na mdogo mdogo za Diamond Usiku wa leo amevamiwa na watu wasio julikana na kujeruhiwa vibaya , kwa sasa yupo muhimbili akiendelea na matibabu habari hizi zimetolewa na clouds fm kupitia mtandao wao wa twitter endelea kukaa nasi tutakujuza zaidi

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: