
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
muimbaji wa bongo fleva pipi amedai kutumia simu moja yeye na mume wake
pipi akiongea na kipindi cha leo tena cha clouds fm
unajua mtu kama sio mwaminifu katika ndoa ndio inakuwa tabu
na mtu akiamua kucheat anaweza hata bila simu japo kuwa wengi wanaona ni wivu lakini hiyo ni misingi tuliowekeana tangu tulivyozoeana alisema
mimi na mume wangu tuna miaka kumi tangu hatujafunga ndoa ni miaka kumi imefika. mimi na mume wangu tunamisingi mizuri ya uaminifu
na wala hatuna mambo mengi hivyo hatuna sababu ya kufichana ,kwangu mimi naona ni kawaida hata yeye. aliongezea
Post A Comment: