
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
JUMLA ya watumishi wa umma 35 wa Halmashauri ya Bahi mkoani Dodoma wameondolewa kwenye ajira kutokana na kukutwa na vyeti feki katika zoezi la uhakiki huku 26 kati yao wakitoka katika sekta ya Afya.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Rachel Chuwa alisema mbali na afya, sekta nyingine iliyoathirika na hali hiyo ni elimu ambayo ina watumishi nane wenye vyeti feki.
Alisema sekta ya kilimo na mifugo ina mtumishi mmoja.
Hata hivyo, alisema pamoja na watumishi hao 35 kukumbwa katika zoezi hilo hakuna huduma iliyosimama licha ya kuwepo upungufu katika baadhi ya maeneo.
Alisema katika ya watumishi hao wa afya 26 kuna waganga wa vituo, madaktari wasaidizi, matabibu na wauguzi.
Post A Comment: