
baada ya kuonyesha kitendo kilichokuwa kinyume na maadili ya kitanzania, basata ilichukua hatua ya kumfungia shilole kuto jishughulisha na sanaa ya muziki kwa muda wa mwaka mmoja, watu wengi wametoa maoni miongoni mwao ni Dj Fetty
haya ndio maneno ya fetty aliyoyaandika kwenye ukurasa wake wa fesibuku
zilitoka mixtape za ant virus vol.1 na 2, Basata alikaa kimya na alitoa kibali cha uzinduzi wa anti virus vol. 2 , viwanja vya posta licha ya kuwepo kwa malalamiko, SWALI ni kifungu kilichotumika kumuhukumu ni UCHI au UVUNJAJI wa MAADILI???
Una maoni kuhusu hukumu aliyopewa shilole na maoni ya fetty tuandikie hapo chini
haya ndio maneno ya fetty aliyoyaandika kwenye ukurasa wake wa fesibuku
zilitoka mixtape za ant virus vol.1 na 2, Basata alikaa kimya na alitoa kibali cha uzinduzi wa anti virus vol. 2 , viwanja vya posta licha ya kuwepo kwa malalamiko, SWALI ni kifungu kilichotumika kumuhukumu ni UCHI au UVUNJAJI wa MAADILI???
Una maoni kuhusu hukumu aliyopewa shilole na maoni ya fetty tuandikie hapo chini
Post A Comment: